
Kiongozi wa alshabaab Dahir Aweyes
FIFA
leo imetangaza Majina ya Wachezaji 6 watakaowania Tuzo ya Mchezaji Bora
wa Kombe la Mabara linalochezwa huko Nchini Brazil ambapo Mshindi wake
atatunukiwa Mpira wa Dhahabu wa Adidas.


KUNDI
B la Mashindano ya FIFA ya Kombe la Mabara yanayochezwa huko Nchini
Brazil leo walicheza Mechi zao za mwisho na Mabingwa wa Dunia Spain
kuichapa Nigeria Bao 3-0 na Uruguay kuibamiza Tahiti Bao 8-0.
TONY
ADAMS, Nahodha wa zamani wa Arsenal, ameipasulia Klabu yake hiyo ya
zamani kwa kuwaambia wao bado sana kufikia hatua ya kutwaa Ubingwa na
badala yake wajitahidi kutwaa angalau FA CUP au Kombe la Ligi Vikombe
ambavyo pia amedai bado ni vigumu kwao.
LEO
huko Arena Fonte Nova, Mjini Salvador, Wenyeji Brazil wanapambana na
Italy katika Mechi ya mwisho ya Kundi A la Mashindano ya FIFA ya Kombe
la Mabara huku Timu zote zikiwa tayari zimeshatinga Nusu Fainali.