Test midle sidebar

Tuesday, June 17, 2014

BRAZIL YASHIKWA PABAYA,

BRAZIL_v_MEXICO-NEYMAR 














Mechi za Pili kwa Kundi A la Fainali za Kombe la Dunia zimeanza Leo Estadio Castelão, Fortaleza na Wenyeji Brazil kutoka Sare ya 0-0.

Tazama Watoto walia kwa majonzi!!

Jina la mtoto Nasra Mvungi jana lilitawala maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Afrika nchini. Watoto walielezea kilio chao .

Monday, June 2, 2014

TAZAMA:MSHAMBULIAJI Samuel Eto's alichokifanya jana baada ya kuifungia cameroon na kumbusha morinho kwa kwa vitendo alichokizungumza kipind cha nyuma

MSHAMBULIAJI Samuel Eto's jana amerudia kushangilia kama kikongwe baada ya kuifungia Cameroon bao la kuongoza ikitoka safe ya 2-2 na Ujerumani katika mchezo wa kirafiki kujiandaa na Kombe la Dunia.

Tuesday, February 25, 2014

KIBARUA KINGINE TENA KWA MOYES : JE!!!! MAFANIKIO MAN UNITED YAKO MIKONONI MWA ROONEY & ROBIN VAN PERSIE??

RVP_N_ROONEY


WAKATI Mabingwa wa England, Manchester United, Usiku huu watatinga ndani ya Karaiskakis Stadium, Jijini Athens, Ugiriki  kucheza na Olympiakos kwenye Mechi ya Kwanza ya Raundi ya Mtoano ya Timu 16 ya UEFA CHAMPIONZ LIGI,

Tazama Mbinu za kufanikisha elimu kwa mtoto wa kike


Kwa kuwa watoto wa kike nao wana haki ya kuhitimu masomo kama ilivyo kwa wenzao wa kiume, chapisho lingine la HakiElimu liitwalo: Mbinu za kufanikisha elimu kwa wasichana

Thursday, February 20, 2014

HATARI!!!: MTOTO WA RAIS ANASWA AKIPIMA 'NGOMA'