Monday, October 14, 2013

SHEHENA YA AJABU ILIYOKAMATWA MOMBASA TAZAMA ILICHOKUWA IMEKIBEBA

Kontena ambalo lilikuwa na vitu vya nyumbani, limekamatwa likiwa na bidhaa nyingi za ajabu kama mafuvu na vitu vingine vya kutisha ambavyo inasemekana huwa vinatumika kwenye ibada za dini za kishetani. Mzigo huo bado unashikiliwa na mamlaka za Kenya na  kama ilivyoripotiwa na Citizen TV

0 comments:

Post a Comment