Queen Darlen Amkana Alikiba Kweupe
7 years ago
![]() |
| Rehema fabian |

![]() |
| Mwanadada Shilole na madensa wake wakilishambulia jukwaa vilivyo usiku huu ndani ya tamasha la Serengeti fiesta 2013,ndani ya uwanja wa Kambarage.mkoani Shinyanga. |
Mchezaji
Jonjo Shelvey usiku wa Jumatatu ulikuwa wa aina yake kwa upande wake
baada ya kuhusika na ufungwaji wa mabao yote manne katika mchezo wa sare
ya 2-2 kati ya Swansea dhidi ya timu yake ya zamani ya Liverpool. Hapo
juu tunaona Jonjo akifunga bao zuri katika dakika ya 3 tu ya mchezo,
lakini ya muda akachomesha
bao la kusawazisha la Liverpool kama unavyoona hapo chini
