COLOMBIA YAINYUKA PERU 2-0, FALCAO ATIKISA KAMBA!!
KITIMTIM
cha kwenda Nchi Jirani Brazil Mwaka 2014 kimeendelea huko Marekani ya
Kusini katika Mechi za Kundi lao kusaka 4 za kuingia Fainali ya Kombe la
Dunia na Ecuador, wakicheza Nyumbani Mjini Quito, Estadio Olímpico
Atahualpa, waliiendesha mchakamchaka Argentina na nusura waifunge.
Dakika 13 baadae, Ecuador walisawazisha Bao hilo kupitia Segundo Castillo.
Ecuador 1
-Dakika ya 17 Segundo Castillo
Argentina 1
-Dakika ya 4 Sergio Aguero [Penati]
-KADI NYEKUNDU: Dakika ya 86 Javier Mascherano
Kwenye Dakika ya 61 Argentina
walimpumzisha Sergio Aguero na kumuingiza Lionel Messi lakini ni Ecuador
ndio walibaki juu na kukosa Bao kadhaa.
Katika Dakika ya 86, Javier Mascherano,
wakati akitolewa nje kwenye Kigari cha Machela, alionyeshwa Kadi
Nyekundu kwa madai ya kumpiga teke Mtoa Huduma ya Kwanza kwenye Kigari
hicho.
MSIMAMO:
NA |
TIMU |
P |
W |
D |
L |
F |
A |
GD |
PTS |
1 |
Argentina |
13
|
7
|
5
|
1
|
25 |
9 |
16 |
26 |
2 |
Colombia |
12
|
7
|
2
|
3
|
21 |
7 |
14 |
23 |
3 |
Ecuador |
12
|
6
|
3
|
3
|
17 |
12 |
5 |
21 |
4 |
Chile |
12
|
6
|
0
|
6
|
18 |
20 |
-2 |
18 |
5 |
Venezuela |
12
|
4
|
4
|
4
|
10 |
13 |
-3 |
16 |
6 |
Peru |
12
|
4
|
2
|
6
|
12 |
17 |
-5 |
14 |
7 |
Uruguay |
11
|
3
|
4
|
4
|
17 |
21 |
-4 |
13 |
8 |
Bolivia |
12
|
2
|
4
|
6
|
14 |
21 |
-7 |
10 |
9 |
Paraguay |
12
|
2
|
2
|
8
|
9 |
23 |
-14 |
8 |
**FAHAMU: Timu 4 za Juu
zitafuzu moja kwa moja kucheza Fainali za Kombe la Dunia 2014 huko
Brazil na Timu ya 5 itakwenda kucheza Mechi ya Mchujo na Timu kutoka
Kanda ya ASIA kupata Timu 1 ya kuingia Fainali.
Katika Mechi nyingine iliyoanza mapema,
Colombia wamezidi kuiandama Argentina kileleni baada ya kuichapa Peru
Bao 2-0 kwa Bao za Dakika ya 13 kwa Penati ya Radamel Falcao Garcia na
Dakika ya 45 kupitia Teofilo Gutierrez.
Peru walimaliza Mechi hiyo kwa kuwa Mtu 10 baada ya Carlos Zambrano kupewa Kadi Nyekundu katika Dakika ya 70.
Timu 4 za Juu zitafuzu moja kwa moja
kucheza Fainali za Kombe la Dunia 2014 na Timu ya 5 itakwenda kucheza
Mechi ya Mchujo na Timu kutoka Kanda ya ASIA kupata Timu 1 ya kuingia
Fainali.
VIKOSI VILIVYOANZA:
ECUADOR: Dominguez, Paredes, Guagua, Erazo, Ayovi; Valencia, Noboa, Castillo, Montero; Caicedo, Rojas.
ARGENTINA: Romero; Peruzzi, Fernandez, Garay, Basanta, Rojo; Banega, Mascherano, Di Maria; Palacio, Agüero.
RATIBA/MATOKEO:
[Saa ni za Bongo, Kwenye Mabano Matokeo Mechi za Kwanza]
Jumanne Juni 11
Ecuador 1 Argentina 1
Colombia 2 Peru 0
Jumatano Juni 12
03:00 Venezuela v Uruguay [1-1]
03:30 Chile v Bolivia [2-0]
Jumapili Septemba 8
01:00 Colombia v Ecuador [0-1]
01:00 Chile v Venezuela [2-0]
01:00 Paraguay v Bolivia [1-3]
01:00 Peru v Uruguay [2-4]
Jumanne Septemba 10
03:00 Bolivia v Ecuador [0-1]
03:00 Paraguay v Argentina [1-3]
0300 Venezuela v Peru[1-2]
03:00 Uruguay v Colombia [0-4]
0 comments:
Post a Comment