
ZIFUATAZO NI DONDOO MUHIMU:
BUNDESLIGA
-Ligi itaanza Tarehe 9 Agosti 2013 na kumalizika 10 Mei 2014
-Mapumziko ya Majira ya Baridi, Winta, ni kati ya Desemba 20, 2013 na 26 Januari 2014.
-Timu 18 kushiriki Ligi hii.
SERIE A
-Ligi itaanza Tarehe 25 Agosti 2013 na kumalizika 18 Mei 2014
-Mapumziko ya Majira ya Baridi, Winta, ni kati ya Desemba 23, 2013 na 5 Januari 2014.
-Kutakuwa na Raundi 3 za Mechi za katikati ya Wiki hapo Tarehe 25 Septemba 2013, 30 Oktoba 2013 na7 Mei 2014.
-Timu 20 kushiriki Ligi hii.
-Fainali ya Kombe la Italy, Coppa Italia au IM Cup 2014 itafanyika Jumatano 16 April 2014
-TIM Supercup 2013 itafanyika huko China Mwezi Agosti 2013.
LA LIGA
-Ligi itaanza Tarehe 17 Agosti 2013 na kumalizika 18 Mei 2014
-Mapumziko ya Majira ya Baridi, Winta, ni kati ya Desemba 8, 2013 na 5 Januari 2014.
-Timu 20 zitashiriki.
-Fainali Copa del Rey 19 Aprili 2014
BPL
-NGAO ya JAMII: 11 Agosti 2013 Uwanja wa
Wembley, London Saa 10 Jioni: Mabingwa Manchester United v Wigan
Athletics, Washindi wa FA CUP
-Ligi itaanza Tarehe 17 Agosti 2013 na kumalizika 11 Mei 2014
-Mapumziko ya Majira ya Baridi, Winta: Hamna
-Timu 20 kushiriki Ligi hii.
-Ratiba ya Ligi kutolewa Juni 19
-Fainali FA CUP ni Tarehe 17 Mei 2014
0 comments:
Post a Comment