Thursday, January 9, 2014

BASI LA MTEI LAFANYIWA NDIVYO SIVYO NA WANANCHI WA SINGDA BAADA YA KUGONGA NA KUUA:



Basi la mtei likiteketea kwa moto baada ya kuchomwa na watu wenye hasira kali.…

Basi la mtei likiteketea kwa moto baada ya kuchomwa na watu wenye hasira kali.
 
Muonekano wa basi la Mtei baada ya kuzimwa moto huo.
Habari ambazo mtandao huu umezipata kutoka Singida zinasema Basi la abiria la Matei linalofanya safari zake kutoka Mwanza kwenda Dar  limechomwa moto na kuteketea kabisa na watu wenye hasira kali baada ya kugonga bodaboda ambayo ilikuwa imepakia ‘mshikaki’ wa watu watatu ambao walikufa papohapo eneo la tukio.
Hakuna abiria wa basi aliyeumia.  Mwandishi wetu aliye kwenye tukio amesema Kaimu Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Singida, Geofrey Kamwela yupo eneo ya tukio akishughulikia sakata hilo Posted by http://thesuperonenews.blogspot.com/.

0 comments:

Post a Comment