watu wakusanyika kumlaza Ngwea ndani ya nyumba yake ya milele

M2TheP akimuaga mshikaji wake wa karibu, marehem Albert Mangwea, katika viwanja vya Jamhuri mkoani Morogoro

Maelfu ya wakazi wa Morogoro wakiwa katika foleni kumuaga marehem Albert Mangwea
0 comments:
Post a Comment