
| Mwili wa Marehemu Albert Mangwea ukishushwa kwenye gari kwenye viwanja vya leaders tayari kwa kuagwa |
| Jeneza la Albert Mangwea likiwa limebebwa tayari kwa shughuli ya kuagwa |
| Wanafamilia ya Mangwea wakiwa wanasubiri kuaga mwili wa mpendwa wao |
| Stamina, Izzo B na Dullah Spartan |
| Baadhi ya wana kamati ya mazishi |
| Wasanii wa Bongo Flava |
| Diamond na dada yake Queen Darleen pamoja na Mwasiti |
| Ally Kiba na Abdu Kiba walikuwepo katika kuaga mwili wa msanii mwenzao Mangwea |
| TID akitoa risala maalum kuhusu kifo cha rafiki yake kipenzi |
| Bongo Movie |
| Kamati ya Mazishi ya Albert Mangwea |
| Madee akiaga mwili wa Albert Mangwea |
| Dr Cheni akiaga |
| Mac Regan wa Ze Komedi akiaga |
| Diamond Platnumz akiaga |
| P Funk na TID wakiwa kwenye majonzi tele |
| Prof. Jay akiaga |
| H Baba na Pasha |

0 comments:
Post a Comment