Sunday, January 19, 2014

BARAZA JIPYA LA MAWAZIRI LATANGAZWA


Katibu Mkuu Kiongozi, Ombeni Sefue.
Katibu Mkuu Kiongozi, Ombeni Sefue ametangaza baraza jipya la mawaziri wakiwemo walioziba nafasi tano zilizokuwa wazi na wengine kuhamishiwa wizara nyingine!

MAWAZIRI WALIOZIBA NAFASI TANO ZILIZOKUWA WAZI
Waziri wa Fedha-Saada Mkuya, Waziri wa Maliasili na Utalii-Lazaro Nyalandu, Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa-Hussein Mwinyi, Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchii-Mathias Chikawe, Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi-Titus Kamani.

0 comments:

Post a Comment