Sunday, October 13, 2013

Wahamiaji Haramu Morogoro wafanyiwa kitu kibaya watosahau angali mwenyewe picha zaidi ya 6.


Mmoja wa wahamiaji haramu toka Ethiopia na kwingineko akishushwa katika gari la mizigo lillokuwa limebeba shehena ya chokaa lililokuwa likitokea mkoa wa tanga na kukamatwa jana mkoani morogoro
Moja ya Magari lililohusika kuwabeba Wahamiaji hao
Kichapo kama Kawaida
Wahamiaji haramu wakiwa kituo cha polisi mkoani morogoro mara baada ya kukamatwajana wakisafirishwa

0 comments:

Post a Comment