Saturday, October 26, 2013

ARSENAL BADO JUU, SUAREZ AFANYA KWELI, MAN UNITED YAJIKONGOJA!

 Vichwa vya Kipindi cha Pili vya Wayne Rooney na Javier Hernandez ‘Chicharito’ vimewapa ushindi Manchester United wa Bao 3-2 dhidi ya Stoke City Uwanjani Old Trafford baada ya mara mbili kutoka nyuma.


SOMA ZAIDI:
BPL: LIGI KUU ENGLAND

RATIBA/MATOKEO:
[Saa za Bongo]
Jumamosi Oktoba 26
Crystal Palace 0 Arsenal 2
Aston Villa 0 Everton 2
Liverpool 4 West Brom 1
Man United 3 Stoke 2
Norwich 0 Cardiff 0
1930 Southampton v Fulham
MAN UNITED 3 STOKE CITY 2
Vichwa vya Kipindi cha Pili vya Wayne Rooney na Javier Hernandez ‘Chicharito’ vimewapa ushindi Manchester United wa Bao 3-2 dhidi ya Stoke City Uwanjani Old Trafford baada ya mara mbili kutoka nyuma.
Hadi Mapumziko, Man United walikuwa nyuma kwa Bao 2-1 kwa Bao za Peter Crouch na Marko Arnautovic huku Bao lao moja la Man United likifungwa na Robin van Persie.
Zikiwa zimebaki Dakika 12, Bao za Wayne Rooney na Chicharito, alieingia kutoka Benchi, ndizo ziliwakomboa Mabingwa hao na kuwapa ushindi wa Bao 3-2.
VIKOSI:
Man United: De Gea; Smalling, Evans, Jones, Evra; Nani, Carrick, Cleverley, Kagawa; Rooney, Van Persie
Akiba: Rafael, Lindegaard, Chicharito, Young, Valencia, Fellaini, Januzaj.
Stoke: Begovic; Cameron, Shawcross, Huth, Pieters; Walters, Palacios, Ireland, Nzonzi, Arnautovic; Crouch
Akiba: Sorensen, Whelan, Jones, Wilson, Adam, Assaidi, Wilkinson.
Refa: Lee Martin
ASTON VILLA 0 EVERTON 0
Romelu Lukaku aliifungia Everton Bao lake la 5 katika Mechi 5 wakati walipoibwaga Aston Villa iliyokuwa Uwanjani kwao Villa Park Bao 2-0 huku Bao jingine la Everton likifungwa na Leon Osman
Awali Christian Benteke wa Villa alikosa kufunga kwa Penati ambayo iliokolewa na Kipa Tim Howard.
Huu ni ushindi wa 5 kwa Everton katika Mechi zao 6 za Ligi walizocheza mwisho.
VIKOSI:
Aston Villa: Guzan, Bacuna, Vlaar, Baker, Westwood, Weimann, Luna, Delph, Agbonlahor, Benteke, Tonev. 
Everton: Howard, Baines, Jagielka, Mirallas, Distin, McCarthy, Lukaku, Barry, Barkley, Pienaar, Coleman.
LIVERPOOL 4 WEST BROM 1
Luis Suarez leo Uwanjani Anfield alipiga Hetitriki na Daniel Sturridge kufunga Bao moja wakati Liverpool ilipoichapa West Brom Bao 4-1.
Bao la West Brom lilifungwa na James Morrison kwa Penati.
VIKOSI:
Liverpool: Mignolet, Johnson, Cissokho, Toure, Sakho, Skrtel, Lucas, Gerrard, Henderson, Sturridge, Suarez
Akiba: Jones, Kelly, Agger, Allen, Sterling, Moses, Alberto.
West Brom: Myhill, Jones, McAuley, Olsson, Ridgewell, Yacob, Mulumbu, Amalfitano, Anelka, Sessegnon, Anichebe
Akiba: Daniels, Long, Brunt, Morrison, Lugano, Vydra, Berahino.
NORWICH CITY 0 CARDIFF CITY 0
Kipa wa Cardiff City, David Marshall, leo alikuwa shujaa baada ya kuizuia Norwich City kupata Bao Uwanjani kwao Carrow Road katika Mechi ambayo ni mara ya kwanza kwa Timu hizi kukutana katika Ligi Kuu England.
VIKOSI:
Norwich: Ruddy, Martin, Turner, Bassong, Olsson, Tettey, Snodgrass, Howson, Fer, Pilkington, Hooper. Subs: Whittaker, Johnson, van Wolfswinkel, Elmander, Nash, Redmond, Ryan Bennett.
Cardiff: Marshall, Theophile-Catherine, Caulker, Turner, Taylor, Medel, Odemwingie, Kim, Mutch, Whittingham, Campbell
Akiba: Hudson, Gunnarsson, Cowie, Mason, Maynard, Lewis, Bellamy.
CRYSTAL PALACE 0 ARSENAL 2
Arsenal wameichapa Timu isiyokuwa na Meneja Crystal Palace Bao 2-0 na kubakia kileleni mwa Ligi licha ya kucheza Mtu 10 baada ya Kiungo wao Mikel Arteta kutolewa kwa Kadi Nyekundu.
Arteta ndie alieifungia Arsenal Bao la kwanza kwa Penati ya Dakika ya 47 iliyotolewa baada ya Adlene Guedioura kumchezea rafu Serge Gnabry.
Katika Dakika ya 65, Arteta alipewa Kadi Nyekundu baada kumchezea rafu Marouane Chamakh aliekuwa akichanja mbuga na Refa kumtoa kwa vile yeye alikuwa ndie Mtu wa mwisho kwenye Difensi.
Olivier Giroud aliifungia Arsenal Bao la Pili katika Dakika ya 87.
VIKOSI:
Crystal Palace: Speroni, Ward, Delaney, Gabbidon, Moxey, Jedinak, Dikgacoi, Bannan, Thomas, Guedioura, Chamakh
Akiba: Price, Mariappa, O'Keefe, Puncheon, Kebe, Bolasie, Gayle. 
Arsenal: Szczesny, Sagna, Mertesacker, Koscielny, Gibbs, Arteta, Flamini, Ramsey, Ozil, Cazorla, Giroud
Akiba: Fabianski, Monreal, Vermaelen, Wilshere, Rosicky, Gnabry, Bendtner.
Refa: Chris Foy
BPL: LIGI KUU ENGLAND
RATIBA
[Saa za Bongo]
Jumapili Oktoba 27
1630 Sunderland v Newcastle
1900 Chelsea v Man City
1900 Swansea v West Ham
1900 Tottenham v Hull
**KUANZIA JUMAPILI, MAJIRA HUKO ENGLAND YANABADILIKA.
-MECHI ZITAANZA KUCHEZWA SAA 1 MBELE YA TILIVYOZOEA BONGO
-TOFAUTI YA MASAA ITAKUWA NI MATATU [BONGO WATAKUWA SAA 3 MBELE]
++++++++++++++++++++++++++
MSIMAMO:
NA TIMU P GD PTS
1 Arsenal 9 11 22
2 Liverpool 9 9 20
3 Everton 9 4 18
4 Chelsea 8 9 17
5 Man City 8 11 16
6 Tottenham 8 3 16
7 Southampton 8 5 15
8 Man Utd 9 2 14
9 Hull 8 -2 11
10 Newcastle 8 -3 11
11 Swansea 8 1 10
12 Fulham 8 -1 10
13 West Brom 9 -3 10
14 Aston Villa 9 -3 10
15 Cardiff 9 -5 9
16 West Ham 8 0 8
17 Stoke 9 -4 8
18 Norwich 9 -7 8
19 Crystal Palace 9 -13 3
20 Sunderland 8 -15 1
MECHI ZIJAZO:
BPL: LIGI KUU ENGLAND
RATIBA
Jumamosi Novemba 2
15:45 Newcastle v Chelsea
18:00 Fulham v Man Utd
18:00 Hull v Sunderland
18:00 Man City v Norwich
18:00 Stoke v Southampton
18:00 West Brom v Crystal Palace
18:00 West Ham v Aston Villa
20:30 Arsenal v Liverpool
Jumapili Novemba 3
13:30 Everton v Tottenham
16:00 Cardiff v Swansea
Jumamosi Novemba 9
18:00 Aston Villa v Cardiff
18:00 Chelsea v West Brom
18:00 Crystal Palace v Everton
18:00 Liverpool v Fulham
18:00 Southampton v Hull
20:30 Norwich v West Ham
Jumapili Novemba 10
15:00 Tottenham v Newcastle
17:05 Sunderland v Man City
19:10 Man Utd v Arsenal
19:10 Swansea v Stoke
Jumamosi Novemba 23
15:45 Everton v Liverpool
18:00 Arsenal v Southampton
18:00 Fulham v Swansea
18:00 Hull v Crystal Palace
18:00 Newcastle v Norwich
18:00 Stoke v Sunderland
20:30 West Ham v Chelsea
Jumapili Novemba 24
16:30 Man City v Tottenham
19:00 Cardiff v Man Utd
Jumatatu Novemba 25
23:00 West Brom v Aston Villa
Jumamosi Novemba 30
18:00 Aston Villa v Sunderland
18:00 Cardiff v Arsenal
18:00 Everton v Stoke
18:00 Norwich v Crystal Palace
18:00 West Ham v Fulham
20:30 Newcastle v West Brom
Jumapili Desemba 1
15:00 Tottenham v Man Utd
17:05 Hull v Liverpool
19:10 Chelsea v Southampton
19:10 Man City v Swansea
Jumanne Desemba 3
20:00 Crystal Palace v West Ham
Jumatano Desemba 4
22:45 Arsenal v Hull
22:45 Liverpool v Norwich
22:45 Man Utd v Everton
22:45 Southampton v Aston Villa
22:45 Stoke v Cardiff
22:45 Sunderland v Chelsea
22:45 Swansea v Newcastle
23:00 Fulham v Tottenham
23:00 West Brom v Man City

0 comments:

Post a Comment