Wakuu wa Iraq wanasema
wamegundua njama ya al-Qaeda kutaka kutumia silaha za kemikali nchini
Iraq na kuzisafirisha kwa magendo hadi Ulaya na Marekani.

Bwana al-Askari aliiambia televisheni ya Iraq kwamba wanaume watano walikamatwa baada ya kuchunguzwa kwa miezi mitatu.
Wote walikiri makosa, alisema.
0 comments:
Post a Comment