Monday, October 14, 2013

MTU AKUTWA AMEJINYONGA KWENYE MTI MKOANI MOROGORO TAZAMA PICHA ZAID YA 4

Mwili wa mwanaume ambaye jina lake halikufahamika mara moja ukining'inia juu ya mti. Mwanaume huyu amekutwa amejinyonga usiku wa kuamkia leo mjini Morogoro. Chanzo cha mtu huyu kujinyonga hakijafahamika. Kwa mujibu wa askari…

Askari akipanda juu ya mti kwa ajili ya kuushusha mwili wa marehemu.



















      0 comments:

      Post a Comment