Monday, September 30, 2013

WENGER PRESHA BADO NINAYO: ASISITIZA KUZUNGUMZIA UBINGWA SASA NI UPUUZI!!!!

WENGER-PROFESA

Arsene Wenger amesisitiza kuwa ni upuuzi kuzungumzia hivi sasa kuhusu Arsenal kutwaa Ubingwa licha ya kuwa wao ndio wanaongoza baada ya kushinda Mechi 5 kati ya 6 za Ligi Kuu England walizocheza.

MSANII WA TANZANIA AKAMATWA NAMADAWA YA KULEVYA AKIRI KUKAMATWA CHINA!

Rehema fabian
Add caption
Madawa ya kulevya.

Rehema: Mambo poa tu. Nani mwenzangu?
Ijumaa Wikienda: Unachati na gazeti la Ijumaa Wikienda. Kuna taarifa zimezagaa Bongo kuwa umekamatwa na unga China. Hizi habari zina ukweli?
Rehema: Ni kweli nilikuwa mahabusu. Mateso ya huko wee acha tu. Nilipata kesi lakini si yangu ila namshukuru Mungu nimetoka salama.
Ijumaa Wikienda: Kesi inahusu nini na kama ilikuwa haikuhusu kwa nini ulikamatwa?.................................................

Sunday, September 29, 2013

EL DERBI MADRILEÑO: REAL WAKIONA CHA MOTO, NI MARA YA KWANZA TANGU 99!

EL_DERBI_MADRILENO13
Real Madrid wamepoteza El Derbi Madrileno baada ya kuchwapwa kwao Santiago Bernabeu Bao 1-0 na Atletico Madrid ambao Jana walimaliza ile Rekodi ya kutoifunga Real kwenye La Liga tangu Mwaka 1999 zikiwa ni Mechi 23.

Saturday, September 28, 2013

SPURS, CHELSEA TORRES ALIMWA KADI NYEKUNDU!

Tottenham wametoka Sare Bao 1-1 na Chelsea na kuipiku Arsenal kileleni mwa Ligi Kuu England
Gylfi Sigurdsson ndie alieifungia Spurs Bao katika Kipindi cha Kwanza baada ya ushirikiano mzuri kati ya Christian Eriksen na Roberto Soldado na Mpira kumfikia yeye.

MAJANGA TENA:!!! DAKTARI FEKI ALIYENASWA MUHIMBILI NI FUNDI UMEME!



Dokta feki Bw. Dismas John Macha
SIRI imefichuka! Kumbe yule Dokta Dismas John Macha aliyenaswa kwa tuhuma za kujifanya daktari katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Dar, Jumanne wiki hii, ni fundi wa umeme wa nyumbani,

MAN UNITED, MAN CITY ZOTE TAABANI!! PATA RATIBA NA MATOKEO YA MICHEZO MINGINE


WBA YAIPIGA UNITED OLD TRAFFORD MARA YA KWANZA TANGU 1978!
NI MWANZO MBOVU KWA UNITED KWENYE LIGI TANGU 1989/90!

RECHO NILICHO DHAMILIA NTAKIPATA TU,, ATUPIA NUSU UTUPU!!!


Rachel Haule ‘Recho’
 MSANII wa filamu za kibongo, Rachel Haule ‘Recho’ hivi karibuni aligeuka kituko baada ya kutupia picha ya nusu utupu katika mtandao wa kijamii.