NYOTA aliyetamba katika muziki wa kizazi kipya enzi hizo akiwa na Kundi
la Daz Nundaz, Ferooz Mrisho, juzikati alikamatwa na polisi na kutupwa
lupango .....................
Mfanyakazi wa Kitengo
cha Kuhifadhi Maiti cha Hospitali ya Rufaa ya Mbeya, Eugene Vurugu
amemtisha Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Seif Rashid kuwa.................................................................
Ama
kweli dunia haina huruma! Dada Happy amejikuta akiishiwa nguvu na
kuanguka mbele ya kadamnasi na kuzimia pasipo msaada wowote ambapo
badala yake watu waliodaiwa kuwa ni vibaka walimuibia vitu vyake vyote.
MWENYEKITI
wa Chadema wilayani Temeke, jijini Dar Joseph Yona,33, ameeleza A-Z
sakata la kutekwa, kuteswa kwake na vijana sita wakati akienda..........................