Wednesday, January 15, 2014

Ngono; sifa mpya inayotawala vyuo

Baadhi ya wakufunzi vyuoni wamekuwa wakidai ngono kama njia ya kuwapa alama za ufaulu wanafunzi.Picha ya Maktaba

FEROOZ MBARONI KWA BANGI


NYOTA aliyetamba katika muziki wa kizazi kipya enzi hizo akiwa na Kundi la Daz Nundaz, Ferooz Mrisho, juzikati alikamatwa na polisi na kutupwa lupango .....................

Tuesday, January 14, 2014

Mhudumu wa mochuari ‘Amchimba mkwara’ waziri Mkoan mbeya


Mfanyakazi wa Kitengo cha Kuhifadhi Maiti cha Hospitali ya Rufaa ya Mbeya, Eugene Vurugu amemtisha Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Seif Rashid kuwa.................................................................

Thursday, January 9, 2014

MISS’ AANGUKA, AZIMIA AKOMBWA KILA KITU



Ama kweli dunia haina huruma! Dada Happy amejikuta akiishiwa nguvu na kuanguka mbele ya kadamnasi na kuzimia pasipo msaada wowote ambapo badala yake watu waliodaiwa kuwa ni vibaka walimuibia vitu vyake vyote.

BORA KWA DESEMBA: DAVID MOYES ATEULIWA KUGOMBEA MENEJA BORA!


MOYES-NGUMI_JUU

WAGOMBEA MCHEZAJI BORA NI 6!!
BOSI wa Manchester United David Moyes ni miongoni mwa Mameneja kadhaa Wanaogombea Tuzo ya Meneja Bora ya Barclays ya Ligi Kuu England, 

KUTEKWA NA KUTESWA KWA MWENYEKITI WA CHADEMA SABABU YAFICHULIWA...................................




MWENYEKITI wa Chadema wilayani Temeke, jijini Dar Joseph Yona,33, ameeleza A-Z sakata la kutekwa, kuteswa kwake na vijana sita wakati akienda..........................

BASI LA MTEI LAFANYIWA NDIVYO SIVYO NA WANANCHI WA SINGDA BAADA YA KUGONGA NA KUUA:



Basi la mtei likiteketea kwa moto baada ya kuchomwa na watu wenye hasira kali.…