Wednesday, October 9, 2013

HOFU YA MAGAIDI TANZANIA; I HAUFUMBIWI MACHO KAZI YAANZA

BAADA ya i kufichua udhaifu wa ulinzi katika maeneo ya Mlimani City jijini Dar na Uwanja wa Taifa, sasa kazi imeanza ya kuhakikisha mashambulizi ya magaidi wa Al-Shabaab kama yaliyotokea nchini Kenya hivi karibuni, hayatokei Bongo.

DIAMOND AJITABIRIA KIFO DAR




KINARA wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ ametumia melodi inayofanana kwa mbali na wimbo wake wa Kesho, kutengeneza ngoma mpya inayoitwa Kama Nikifa Kesho inayozungumzia hali itakavyokuwa baada ya yeye kufa, jambo lililotafsiriwa na mashabiki wake kuwa ni uchuro wa kujitabiria kifo..........................................................

Friday, October 4, 2013

SOMA RATIBA YA LIGI KUU ENGLAND: WEKEEND HII

BPL2013LOGO

LIGI KUU ENGLAND ipo dimbani Jumamosi na Jumapili kabla kuwa nje kwa Wiki mbili kupishaMechi za Kimataifa.

VIDIC: AJIPA AMPA MATUAMAIN MOYES‘MATAJI YAPO MSIMU HUU!’


VIDIC_ZOEZI

NAHODHA Nemanja Vidic anaamini Manchester United inaweza kugombea Ubingwa wa Ligi ikiwa tu Difensi yao inayovuja itazibwa.

Habari Picha| Angalia Picha zaidi ya 9 Jinsi Shilole alivyo Nyonywa Maziwa yake na Shabiki Jukwaani


Ka Movie vile jamaa anakula kiulaiini

MAINDA SITOSAHAU IKIWA NI BAADA YA KUFANYIZIWA



STAA wa sinema za Kibongo, Ruth Suka ‘Mainda’ amefanyiziwa baada ya kuibwa kwa simu yake aliyokuwa amehifadhi siri na vitu kibao.

JUA ZAIDI KISA CHA CHID BENZ, NA KASSIM MGANGA KUTUKANANA HADHARANI


WASANII wanaotamba katika muziki wa Bongo Fleva, Kassim Mganga na Rashid Makwilo ‘Chid Benz’ juzikati ilikuwa nusura wazichape baada ya kumwagiana matusi hadharani.